Skip to Content

"anwani"

7 mara katika SUV

Akawaambia, Ni ya nani sanamu hii, na anwani hii?

Wakaileta. Akawaambia, Ni ya nani sanamu hii na anwani hii? Wakamwambia, Ni ya Kaisari.

Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.

Nionyesheni dinari. Ina sura na anwani ya nani? Wakamjibu, Ya Kaisari.

Na juu yake palikuwa na anwani; HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI.

Naye Pilato akaandika anwani, akaiweka juu ya msalaba, imeandikwa, YESU MNAZARETI, MFALME WA WAYAHUDI.

Basi anwani hiyo waliisoma wengi katika Wayahudi; maana mahali pale aliposulibiwa Yesu palikuwa karibu na mji; nayo iliandikwa kwa Kiebrania, na Kirumi, na Kiyunani.