Na wana wa Yetheri; Yefune, na Pispa, na Ara.
Na wana wa Ula; Ara, na Hanieli na Risia.
Wana wa Ara, mia saba sabini na watano.
Kwa maana walikuwa watu wengi katika Yuda waliomwapia, kwa sababu alikuwa mkwewe Shekania, mwana wa Ara; naye Yehohanani mwanawe amemwoa binti Meshulamu, mwana wa Berekia.
Wana wa Ara mia sita hamsini na wawili.