Na wana wa Gomeri ni Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.
Na wana wa Gomeri; Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.
Itwekeni bendera katika nchi, pigeni tarumbeta kati ya mataifa, yawekeni mataifa tayari juu yake; ziiteni juu yake falme za Ararati, na Mini, na Ashkenazi; agizeni jemadari juu yake; wapandisheni farasi, kama tunutu.