3 mara katika SUV
Tena, baada ya kufa kwake Hesroni huko Kalebu-Efrata, ndipo Abia, mkewe Hesroni, alipomzalia Ashuri, babaye Teboa.
Naye Ashuri, babaye Tekoa, alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
Ashuri naye amepatana nao, Wamewasaidia wana wa Lutu.