Asijitie unajisi, ijapokuwa ni mkubwa katika watu wake, hata akajinajisi.
wala hataingia penye maiti, wala asijitie unajisi kwa ajili ya baba yake wala mama yake;
Nyamafu au mnyama aliyeraruliwa na wanyama asile, asijitie unajisi kwa hiyo nyama; mimi ndimi Bwana.