2 mara katika SUV
Nawe ukisema moyoni mwako, Tutajuaje neno asilolinena Bwana?
Atakaponena nabii kwa jina la Bwana, lisifuate jambo lile wala kutimia, hilo ndilo neno asilolinena Bwana; kwa kujikinai amelinena huyo nabii, usimwogope