Mtu akimpiga mtumwa wake, au kijakazi chake, kwa fimbo, naye akifa mkononi mwake, hana budi ataadhibiwa.
Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.
Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Naye asemaye uongo ataangamia.
Mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele; Lakini afanyaye haraka kuwa tajiri hakosi ataadhibiwa.