Skip to Content

"atabarikiwa"

4 mara katika SUV

Isaka akatetemeka tetemeko kuu sana, akasema, Ni nani basi yule aliyetwaa mawindo akaniletea? Nami nimekwisha kula kabla hujaja wewe, nikambariki; naam, naye atabarikiwa.

Atabarikiwa Yaeli kuliko wanawake wote; Mkewe Heberi, Mkeni, Atabarikiwa kuliko wanawake wote hemani.

Tazama, atabarikiwa hivyo, yule amchaye Bwana.

Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.