Yeye aliyehamishwa na kufungwa atafunguliwa kwa haraka; wala hatakufa na kushuka shimoni, wala chakula chake hakitapunguka.
kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake;