Skip to Content

"atakapomtolea"

3 mara katika SUV

Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtu wa kwenu atakapomtolea Bwana matoleo, mtatoa matoleo yenu katika wanyama wa mifugo, katika ng'ombe na katika kondoo.

Na mtu atakapomtolea Bwana matoleo ya sadaka ya unga, matoleo yake yatakuwa ya unga mwembamba; naye ataumiminia mafuta, na kutia na ubani juu yake;

Kama akimtoa mwana-kondoo kuwa matoleo yake, ndipo atakapomtolea Bwana;