Skip to Content

"atakayemsaliti"

3 mara katika SUV

Lakini kuna wengine miongoni mwenu wasioamini. Kwa maana Yesu alijua tangu mwanzo ni nani wasioamini, naye ni nani atakayemsaliti.

Alimnena Yuda, mwana wa Simoni Iskariote; maana huyo ndiye atakayemsaliti; naye ni mmojawapo wa wale Thenashara.

Kwa maana alimjua yeye atakayemsaliti; ndiyo maana alisema, Si nyote mlio safi.