Nao walipokuwa wakila, alisema, amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.
Nao walipokuwa wameketi chakulani, wakila, Yesu alisema, amin, nawaambia, Mmoja wenu, naye anakula pamoja nami, atanisaliti.
Naye alipokwisha kusema hayo, Yesu alifadhaika rohoni, akashuhudia akisema, Amin, amin, nawaambieni, Mmoja wenu atanisaliti.