Atapokea baraka kwa Bwana, Na haki kwa Mungu wa wokovu wake.
Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.
Maana mtu kama yule asidhani ya kuwa atapokea kitu kwa Bwana.