Skip to Content

"atashangilia"

3 mara katika SUV

Laiti wokovu wa Israeli utoke katika Sayuni! Bwana awarudishapo wafungwa wa watu wake; Yakobo atashangilia, Israeli atafurahi.

Bali mfalme atamfurahia Mungu, Kila aapaye kwa Yeye atashangilia, Kwa maana vinywa vya waongo vitafumbwa.

Baba yake mwenye haki atashangilia; Naye amzaaye mtoto mwenye hekima atamfurahia.