Skip to Content

"atavuna"

3 mara katika SUV

Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.

Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.

Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.