Kwa kuwa Bwana atawaamua watu wake, Atawahurumia watumwa wake, Aonapo ya kuwa nguvu zao zimeondoka, Na ya kuwa habaki mtu, aliyefungwa wala asiyefungwa,
Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki; Atawaamua watu kwa adili.
Atawaamua watu wako kwa haki, Na watu wako walioonewa kwa hukumu.
Kwa kuwa Bwana atawaamua watu wake, Atawahurumia watumishi wake.