Skip to Content

"atawaamua"

4 mara katika SUV

Kwa kuwa Bwana atawaamua watu wake, Atawahurumia watumwa wake, Aonapo ya kuwa nguvu zao zimeondoka, Na ya kuwa habaki mtu, aliyefungwa wala asiyefungwa,

Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki; Atawaamua watu kwa adili.

Atawaamua watu wako kwa haki, Na watu wako walioonewa kwa hukumu.

Kwa kuwa Bwana atawaamua watu wake, Atawahurumia watumishi wake.