Skip to Content

"atawachochea"

2 mara katika SUV

Kwa sababu hiyo Bwana atawainua adui wa Resini juu yake, naye atawachochea adui zake;

Nami sasa nitakuonyesha yaliyo kweli. Tazama, watasimama wafalme watatu katika Uajemi; naye mfalme wa nne atakuwa tajiri kuliko hao wote; naye atakapopata nguvu kwa utajiri wake, atawachochea wote juu ya ufalme wa Uyunani.