Skip to Content

"atawafundisha"

4 mara katika SUV

Bwana yu mwema, mwenye adili, Kwa hiyo atawafundisha wenye dhambi njia.

Wenye upole atawaongoza katika hukumu, Wenye upole atawafundisha njia yake.

kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha saa ile ile yawapasayo kuyasema.

Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.