Kisha wana wa Israeli walisafiri, wakaifikilia miji ya watu hao siku ya tatu. Basi miji ya watu hao ilikuwa ni hii, Gibeoni, na Kefira, na Beerothi, na Kiriath-yearimu.
na Gibeoni, na Rama, na Beerothi;
Watu wa Kiriath-yearimu, na Kefira, na Beerothi, mia saba arobaini na watatu.
Watu wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi, mia saba arobaini na watatu.