Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake.
Ni nani huyu atokaye Edomu, Mwenye mavazi ya kutiwa damu kutoka Bosra? Huyu aliye na nguo za fahari, Anayekwenda katika ukuu wa uweza wake?
lakini nitapeleka moto juu ya Temani, nao utayateketeza majumba ya Bosra.