na bundi, na mnandi, na bundi mkubwa;
na bundi, na mumbi, na bundi mkubwa;
Nimekuwa kama mwari nyuni wa jangwani, Na kufanana na bundi wa mahameni.
Lakini huko watalala hayawani wakali wa nyikani; na nyumba zao zitajaa bundi; mbuni watakaa huko; na majini watacheza huko.
Kaati na nungu wataimiliki, bundi na kunguru watakaa huko, naye atanyosha juu yake kamba ya ukiwa na timazi ya utupu.