Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba.
ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
wana wa Delaya, wana wa Tobia, wana wa Nekoda, mia sita hamsini na wawili.
Nikaingia nyumbani kwa Shemaya, mwana wa Delaya, mwana wa Mehetabeli, aliyekuwa amefungwa; naye akasema, Tukutane nyumbani mwa Mungu, ndani ya hekalu, tukaifunge milango ya hekalu; kwa maana watakuja kukuua; naam, wakati wa usiku watakuja kukuua.
Wana wa Delaya, wana wa Tobia, wana wa Nekoda, mia sita na arobaini na wawili.