Luka, yule tabibu mpendwa, na Dema, wanawasalimu.
Maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu huu wa sasa, akasafiri kwenda Thesalonike; Kreske amekwenda Galatia; Tito amekwenda Dalmatia.
na Marko, na Aristarko, na Dema, na Luka, watendao kazi pamoja nami.