Skip to Content

"efrathi"

3 mara katika SUV

Akafa Azuba, naye Kalebu akamtwaa Efrathi, aliyemzalia Huri.

Hao walikuwa wana wa Kalebu. Wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi; Shobali, babaye Kiriath-Yearimu;

na Penueli, babaye Gedori, na Ezeri, babaye Husha. Hao ndio wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, babaye Bethlehemu.