Skip to Content

"gedori"

7 mara katika SUV

Halhuli, na Bethsuri, na Gedori;

na Penueli, babaye Gedori, na Ezeri, babaye Husha. Hao ndio wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, babaye Bethlehemu.

Na mkewe Myahudi akawazaa Yeredi, babaye Gedori, na Heberi, babaye Soko, na Yekuthieli, babaye Zanoa. Na hawa ndio wana wa Bithia, binti Farao, ambaye Meredi alimwoa.

Basi wakaenda mpaka maingilio ya Gedori, naam, mpaka upande wa mashariki wa bonde hilo, ili kuwatafutia kondoo zao malisho.

na Gedori, na Ahio, na Zekaria

na Gedori, na Ahio, na Zekaria, na Miklothi.

na Yoela, na Zebadia, wana wa Yerohamu, wa Gedori.