Mfalme akafanya kwa mia hiyo ya msandali nguzo za nyumba ya Bwana, na za nyumba ya mfalme, na vinubi na vinanda vya hao waimbaji; wala haikuja miti ya msandali kama hiyo, wala haikuonekana, hata leo.
Yeye hakutenda dhambi, wala hila haikuonekana kinywani mwake.
Kila kisiwa kikakimbia, wala milima haikuonekana tena.