Skip to Content

"haitoki"

4 mara katika SUV

Kwani taabu haitoki mchangani, Wala mashaka hayachipuki katika nchi;

Amejidhoofisha kwa taabu, lakini kutu yake nyingi haikumtoka; kutu yake haitoki kwa moto.

[Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.]

bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko; ambaye sifa yake haitoki kwa wanadamu bali kwa Mungu.