Kwani taabu haitoki mchangani, Wala mashaka hayachipuki katika nchi;
Amejidhoofisha kwa taabu, lakini kutu yake nyingi haikumtoka; kutu yake haitoki kwa moto.
[Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.]
bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko; ambaye sifa yake haitoki kwa wanadamu bali kwa Mungu.