3 mara katika SUV
Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.
Lakini akanyamaza, wala hakujibu neno. Kuhani Mkuu akamwuliza tena, akamwambia, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wake Mtukufu?
Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato akastaajabu.