Nafsi ya mtu mbaya hutamani uovu; Jirani yake hapati fadhili machoni pake.
Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.
Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo naliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu.
Kwa maana Yesu mwenyewe alishuhudia ya kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.