Yeye hudharau mshindo wa mji, Wala hasikii kelele zake msimamizi.
Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; masikio yake ya wazi, lakini hasikii.
La, kama hasikii, chukua pamoja nawe tena mtu mmoja au wawili, ili kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno lithibitike.