Skip to Content

"hataadhibiwa"

2 mara katika SUV

Lakini akipona siku moja au mbili hataadhibiwa; maana, ni mali yake.

Maana Bwana asema hivi, Tazama, wale wasioandikiwa kunywea kikombe, watakinywea, ni hakika; na wewe je! U mtu ambaye hataadhibiwa kabisa? Hukosi utaadhibiwa, naam, kunywa utakunywa.