Skip to Content

"havila"

7 mara katika SUV

Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu;

Na wana wa Kushi ni Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama ni Sheba, na Dedani.

na Ofiri, na Havila, na Yobabi. Hao wote ndio wana wa Yoktani.

Wakakaa toka Havila mpaka Shuri, unaoelekea Misri, kwa njia ya kwenda Ashuru. Akakaa katikati ya ndugu zake wote.

Sauli akawapiga Waamaleki, toka Havila uendapo Shuri, unaokabili Misri.

Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.

na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.