2 mara katika SUV
Basi hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akasema, Kwa kuwa taifa hili wamelihalifu agano langu nililowaamuru baba zao, wala hawakuisikiliza sauti yangu;
Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu, Wala Israeli hawakunitaka.