Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.
Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.