2 mara katika SUV
Yatafakarini maua jinsi yameavyo; hayatendi kazi wala hayasokoti; nami nawaambia ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.
Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.