2 mara katika SUV
Kisha nikamwuliza nikasema, U binti wa nani wewe? Naye akasema, Mimi ni binti Bethueli, mwana wa Nahori, Milka aliyemzalia. Nami nikamtia hazama puani mwake na vikuku mikononi mwake.
Nikatia hazama puani mwako, na pete masikioni mwako, na taji nzuri juu ya kichwa chako.