Basi siku zangu zina mbio kuliko tarishi; Zakimbia, wala hazioni mema.
Je! Yeye hazioni njia zangu, Na kuzihesabu hatua zangu zote?
Zina vinywa lakini hazisemi, Zina macho lakini hazioni,
Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.