Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.
na kabila ya Zabuloni; na mkuu wa wana wa Zabuloni atakuwa Eliabu mwana wa Heloni;
Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, mkuu wa wana wa Zabuloni;
tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe wawili waume, na kondoo waume watano, na mbuzi waume watano, na wana-kondoo watano waume wa mwaka wa kwanza; hayo ndiyo matoleo ya Eliabu mwana wa Heloni.
Na juu ya jeshi la kabila ya wana wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.