Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
Katika lile shamba alilolinunua Ibrahimu kwa wazawa Hethi, huko ndiko alikozikwa Ibrahimu na Sara mkewe.
Rebeka akamwambia Isaka, Rohoni mwangu sina raha kwa sababu ya hao binti za Hethi. Kama Yakobo akitwaa mke katika binti za Hethi, kama hawa binti za nchi, maisha yangu yatanifaidia nini?
shamba na pango iliyomo lililonunuliwa kwa wazawa wa Hethi.
Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;