na Gosheni, na Holoni, na Gilo; miji kumi na mmoja, pamoja na vijiji vyake.
na Holoni pamoja na malisho yake, na Debiri pamoja na malisho yake;
na Holoni pamoja na viunga vyake, na Debiri pamoja na viunga vyake;
Na hukumu imeifikilia nchi tambarare; juu ya Holoni, na juu ya Yasa, na juu ya Mefaathi;