Skip to Content

"horma"

9 mara katika SUV

Ndipo Mwamaleki, na Mkanaani waliokaa huko mlimani, wakatelemka, wakawapiga na kuwaangusha, hata kufikilia Horma.

Bwana akasikiza sauti ya Israeli, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma.

Na Waamori waliokuwa wakikaa katika mlima huo, waliwatokea juu yenu, wakawafukuza, kama wafukuzwao na nyuki, wakawapomoshea Seiri mpaka Horma.

mfalme wa Horma, mmoja; na mfalme wa Aradi, mmoja;

na Eltoladi, na Kesili, na Horma;

na Eltoladi, na Bethuli, na Horma;

Kisha Yuda akaenda pamoja na nduguye Simeoni, na wakawapiga Wakanaani waliokaa katika Sefathi, na kuuharibu mji kabisa. Na jina la mji huo ulikuwa ukiitwa Horma.

na kwa hao wa Horma, na kwa hao wa Korashani, na kwa hao wa Athaki;

na huko Bethueli, na Horma, na Siklagi;