Skip to Content

"huangamia"

6 mara katika SUV

Kwa pumzi za Mungu huangamia. Na kwa kuvuma kwa hasira zake humalizika.

Simba mzee huangamia kwa kukosa mawindo, Nao watoto wa simba mke wametawanyika mbalimbali.

Ndivyo ulivyo mwisho wa hao wamsahauo Mungu; Na matumaini yake huyo mbaya huangamia;

Wao hufa wakali vijana, Na uhai wao huangamia katikati ya wachafu.

Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake lapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.

Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.