Skip to Content

"huelekea"

5 mara katika SUV

Mimi ni wa amani; Bali ninenapo, wao huelekea vita.

Yote humwelea yule afahamuye, Yote huelekea mbele yao waliopata maarifa.

Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.

Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji.

Kumcha Bwana huelekea uhai; Atakaa ameshiba; hatajiliwa na ubaya.