Mimi ni wa amani; Bali ninenapo, wao huelekea vita.
Yote humwelea yule afahamuye, Yote huelekea mbele yao waliopata maarifa.
Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.
Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji.
Kumcha Bwana huelekea uhai; Atakaa ameshiba; hatajiliwa na ubaya.