Nafsi yake mfanya kazi hujifanyia kazi; Maana kinywa chake humtia bidii.
Je! Utavikazia macho vile ambavyo si kitu? Maana bila shaka mali hujifanyia mabawa, Kama tai arukaye mbinguni.
Wibari ni watu dhaifu; Lakini hujifanyia nyumba katika miamba.
Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.