Na mkono wa kushoto, afanyapo kazi, lakini siwezi kumwona; Hujificha upande wa kuume, hata nisimwone.
Humgeuza mhitaji aiache njia; Maskini wa nchi hujificha pamoja.
Hukutanika, hujificha, huziangalia nyayo zangu, Kwa kuwa wameniotea nafsi yangu.
Wenye haki washindapo, uko utukufu mwingi; Bali waovu waondokapo, watu hujificha.
Wasio haki wainukapo, wanadamu hujificha; Bali waangamiapo, wenye haki huongezeka.