Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.
Lakini hawa nao wamekosa kwa divai, wamepotea kwa kileo; kuhani na nabii wamekosa kwa kileo, wamemezwa kwa divai, wamepotea kwa kileo; hukosa katika maono, hujikwaa katika hukumu.
Vijana huyachukua mawe ya kusagia; Na watoto hujikwaa chini ya kuni.