2 mara katika SUV
Hujilisha dhambi ya watu wangu, hujifurahisha moyo kwa uovu wao.
Efraimu hujilisha upepo, na kuandamana na upepo wa mashariki; haachi kuongeza uongo na uharibifu; nao wafanya agano na Ashuru, na mafuta huchukuliwa kwenda Misri.