Hulala chini ya miti yenye vivuli, Mafichoni penye mianzi, na matopeni.
Walinzi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto, hulala, hupenda usingizi.
Maana walalao usingizi hulala usiku, pia na walewao hulewa usiku.