Bwana huua, naye hufanya kuwa hai; Hushusha hata kuzimu, tena huleta juu.
Hema za wapokonyi hufanikiwa, Na hao wamkasirishao Mungu hukaa salama; Mikononi mwao Mungu huleta vitu vingi.
Huvumbua mambo ya siri tokea gizani, Na hicho kilicho giza tupu huleta mwangani.
Asiye haki hutamani nyavu za wabaya; Bali shina lao wenye haki huleta matunda.
Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.
Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.
Upepo wa kusi huleta mvua; Vile vile asingiziaye huleta uso wa ghadhabu.
Kuwaogopa wanadamu huleta mtego; Bali amtumainiye Bwana atakuwa salama.
Kwa maana kupiga maziwa huleta siagi; Na kupiga pua hutokeza damu; kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.
Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali.
Na kwa habari ya vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; Twajua ya kuwa sisi sote tuna ujuzi. Ujuzi huleta majivuno, bali upendo hujenga.
mkifahamu ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.
Na mataifa watatembea katika nuru yake. Na wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani yake.