Hulia kama punda vichakani; Hukusanyika chini ya upupu.
Kama nchi yangu yalia juu yangu, Na matuta yake hulia pamoja;
Wakati wa jioni hurudi, hulia kama mbwa, Na kuzunguka-zunguka mjini.
Wakati wa jioni hurudi, hulia kama mbwa, Na kuzunguka-zunguka mjini.
Hulia penye mikutano mikubwa ya watu, Mahali pa kuyaingilia malango, Ndani ya mji hutamka maneno yake.
Hiyo siku ya Bwana iliyo kuu i karibu; I karibu, nayo inafanya haraka sana; Naam, sauti ya siku ya Bwana; Shujaa hulia kwa uchungu mwingi huko!